Thursday 17 April 2014

sms za mahaba

ahaba unayonipa natamani niwe
nawe mpaka
kufa,
kila siku zinavyozidi kupita
najuta kwanini nilichelewa penzi
kukupa,
nakupenda na nitakupenda hadi
kufa!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hivi ni lini penzi utanipa,
nimechoka na ahadi
unazonipa kila kunapokucha,
tambua kwako nimefika na siku
utakayonipa
zawadi nzuri nitakupa na
hutanisahau
hadi kufa.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nisamehe la azizi ukweli mbona
uko wazi,
yule si wangu mpenzi ila ni rafiki
yangu
kipenzi, yangu mapenzi ni wewe
pekee nayekupa mpenzi,
katika hii dunia ni wewe
pekee penzi nayekupatia!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Uko wapi wangu malkia, mwenzio
hamu nasikia nawe
ndiye ujuwaye hamu kunitoa,
tafadhali dear upatapo msg hii
tambua nyumbani
nakusubiria! Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika raha wajua kunipatia,
fimbo wajua kuitumia sharti
mtoto wakike nabaki
nagugumia kwa raha unayonipatia
ambayo wengi
wanaililia , plz utamu wangu
nitunzie!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nashukuru kwa miguno
uliyonipatia na kiuno kunikatia,
utamu niliousikia
nilitamani kulia hatima
ilipowadia , nakupenda
dia usije utamu wangu mwingine
kumpatia! Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wikiendi ndiyo imeisha,
majukumu hatunabudi kuyatimiza
dear,
kuwa nawe muda mrefu
nimefurahia nakujihisi malkia
katika hii dunia kuwa
nawe najivunia. Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wangu Malkia nashukuru kwa
mahaba uliyonipatia,
nikikumbuka miguno na viuno
ulivyonipatia na
raha niliyojisikia, nahisi kuna
mwingine unampatia,
please dear penzi langu usije
wengine kuwapatia! Nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nashukuru kwa yako dozi hakika
katika
mapenzi wewe ni mkufunzi,
wajua bakora kuitumia, mpenzi
usije ukawa na
mwingine
unayempatia, hakika nikijua
nitaumia kama
sikujiuam. Nnakupenda!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nimeamini wewew ni mtalam
wajua kunitoa hamu,
unipapasapo huhisi kupoteza
fahamu, maneno yako
matamu hunizidisha hamu, hakika
wajua kunikamua, luv u.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika nimepata tabibu, maradhi
yangu wajua
kujyatibu,
napenda jinsi unavyonitibu,
huna papara yaani ni taratibu,
mpenzi usijemuonyesha
mwingine hizo
zako zabibu,
maswahibu yakatayonisibu hakuna
atakayeweza kuyatibu, nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Usiku wa jana ulikuwa wa aina
yake, ulinipa mambo
matamu yasiyo ya kawaida,
ulinifurahisha sana mpenzi
wangu,
ulidhihirisha kuwa wewe ni
kidume
uliyeubwa kwa ajili yangu..
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nakumbuka siku utamu ulityonipa
maneno
matamu kedekede hukusita
kunipa na
ahadi kibao masikioni mwangu
zilisikika,
hakika roho yangu haikusita
kuamini
kwako nimefika, nashangaa
leo utamu hutaki nipa!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wikiend ndiyo siku niliyokuwa
nikiisubiria mimi
nawe mpenzi tupate tulia,
mahaba na
maneno matamu ndio zawadi
niliyokuandalia. Kumbuka yetu
miadi na jali wakati!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Masika ndiyo hiyo imewadia,
baridi nalo ndio
limenichachia, mpenzi
lini waja joto kunipatia?
Mwezio naumia!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nashukuru kwa yako dozi hakika
katika mapenzi
wewe ni mkufunzi, wajua bakora
kuitumia,
mpenzi usije ukawa na mwingine
unayempatia, hakika nikijua
nitaumia
kama sikujiuam. Nnakupenda!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nimeamini wewew ni mtalam
wajua kunitoa hamu,
unipapasapo huhisi kupoteza
fahamu,
maneno yako matamu hunizidisha
hamu, hakika wajua kunikamua,
luv u.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kuwa nawe najivunia, mtoto
mapenzi wayajua,
kiuno, sauti yako tamu mithili ya
chiriki wajua hasa kuitumia, mua
wangu
wajua kuukamua, ukiniacha jua
nitaumia,
nakupenda usije niacha nitajiua!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
usiku unapoingia najawa na furaha
unajua kwanini?
unaponigusa nahisi tumeumbwa
wawili,
mchana nakumisi sana unapokuwa
kazini,
wikiendi natamani isiishe kwani
unanipa
raha ambazo siwezi kuzipata
popote. . .
Naomba raha hizi usimpe
mwingine. . .
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
kila ninapoona macho yako
nafurahia uwepo
wako,nikiona tabasamu
lako,nasikia homa ya
moyo,nikiona chozi lako la furaha
,moyo wangu unakuwa
huru kwako,nakupenda sana
mpenzi
wangu na
wewe ndiye valentine wangu. . .
Pokea busu mwaaaah
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
pumzi yako kwangu ni burudani ya
ajabu,
nakupenda sana busu lako
maridhawa
shavuni mwangu.wewe ndiye
furaha
yangu

No comments:

Post a Comment